Skip to main content
Skip to main content

Ajali mbaya ya barabarani iliyoyahusisha magari manne Kampala yawaua watu 48

  • | Citizen TV
    1,260 views
    Duration: 54s
    Watu 48 wamefariki kwenye ajali ya barabarani iliyohusisha magari manne mjini Kampala, Uganda. Ajali hii ilitokea muda mfupi baada ya saa sita usiku katika barabara kuu kutoka Kampala kuelekea Gulu