Skip to main content
Skip to main content

Ajali Taveta: Watu 6 waangamia baada ya basi kugongana na trela

  • | Citizen TV
    1,016 views
    Duration: 1:26
    Watu kadhaa wanauguza majeraha kufuatia ajali ya barabarani iliyowaua watu sita. Ajali hiyo ilitokea baada ya dereva wa basi la kampuni ya Chania Executive kupoteza mwelekeo na kuanguka katika eneo la Manyatta, kaunti ya Taita Taveta.