- 7,898 viewsDuration: 1:45Mwendeshaji wa pikipiki alikwama chini ya gari aina ya Probox na kufariki papo hapo kwenye ajali iliyotokea leo asubuhi katika barabara ya Valley road karibu na mzunguko wa Integrity Centre. Watu wengine wanane walijeruhiwa baada ya basi la abiria la city kupoteza mwelekeo na kugonga magari kadhaa. Waliokuwepo ndani ya basi hilo wanasema kuwa dereva alishtuka na kutoweka. polisi wanachunguza ajali hiyo.