- 6,510 views
Aliyekuwa jaji mkuu David Maraga sasa anataka naibu inspekta jenerali wa polisi eliud lagat aondolewe mamlakani ili uchunguzi wa mauaji ya mwalimu na mwanablogu Albert Ojwang' uweze kufanikishwa. Maraga anatoa wito wa kukamatwa mara moja kwa Lagat, akidai kuwa ushahidi uliopo unamhusisha na mauaji ya Ojwang’. Aidha, anataka wakenya wajitokeze na kushinikiza haki kwa marehemu Ojwang' kwenye maandamano ya jumanne ijayo wakati wa kuadhimisha mwaka mmoja tangu maandamano ya Gen Z.
Aliyekuwa jaji mkuu David Maraga ataka naibu mkuu wa polisi aondolewe
- - NTV Kenya LIVE ››
- - Duniani Leo ››
- 5 Aug 2025 - Enquiries revealed that two plots were used as collateral to acquire a loan on which the borrowers defaulted.
- 5 Aug 2025 - Education Cabinet Secretary Julius Ogamba finds himself increasingly sidelined by his own Principal Secretaries.
- 5 Aug 2025 - Will Kenya Kwanza's scorecard be enough to win Ruto a second term?
- 5 Aug 2025 - Kenyan athletes focused on Tokyo Worlds despite Chan fever
- 5 Aug 2025 - Why US ballooning public debt is a key concern for Kenya
- 5 Aug 2025 - Nairobi Expressway contractor to shoulder Sh6.9b tax bill
- 5 Aug 2025 - Court spells the end of Isiolo's 60-year-old bar, a relic of 'choma'
- 5 Aug 2025 - Kebs deal with Japanese firm for car inspections under scrutiny
- 5 Aug 2025 - Why civil society wants Hustler Fund scrapped
- 5 Aug 2025 - Varsities VCs protest course fee cuts as debts soar to Sh85 billion