- 18,297 views
Aliyekuwa mgombea mwenza wa Kinara wa Azimio Raila Odinga, Martha Karua sasa anasema wanafikiria kuwasilisha kesi katika mahakama ya haki ya Afrika Mashariki kupinga uamuzi wa mahakama ya upeo nchini, ulioafiki ushindi wa William Ruto kuwa rais wa tano wa jamuhuri ya Kenya. Karua aliyezungumza eneo la Kimunye kaunti ya Kirinyaga pia ameahidi kuhakikisha kuwa serikali inayoingia ya Rais Mteule Wiliam Ruto inatekeleza majukumu yake inapasavyo. Naye kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka akizungumza kaunti ya Machakos akisema ni wakati wa wakenya kumpa fursa Ruto kuongoza taifa na kutimiza ahadi zake kwa wakenya
Aliyekuwa mgombea mwenza wa Odinga atishia kesi Afrika Mashariki
- 18 May 2024 - Outspoken lawyer Miguna Miguna has shared his recovery journey after sustaining a minor leg injury.
- 18 May 2024 - Police in Ugunja, Siaya County are investigating the death of a 35-year-old man whose body was found hanging in his rented house within Ugunja town on Saturday morning.
- 18 May 2024 - Nominated Senator Crystal Asige has called on the government to include people living with disabilities in policy formulation in matters of transport and mobility.
- 18 May 2024 - The PS also issued an advisory to applicants on what they need to do during the week.
- 18 May 2024 - Several people have been injured after two factions clashed over a market project in Thika. Supporters of Thika MP Alice Ng’ang’a and Kamenu ward MCA Peter Mburu faced off over the construction of the Kiganjo market within Kamenu ward with both leaders…
- 18 May 2024 - Joe Biden's Democratic Party on Friday accused House Speaker Mike Johnson of disrespecting Africa.
- 18 May 2024 - Puzzle of 2,000 absentee pupils in flood-ravaged Mai Mahiu school
- 18 May 2024 - Governor Kihika, CEO clash over closure of War Memorial Hospital
- 18 May 2024 - Papaya is an incredibly healthy tropical fruit
- 18 May 2024 - The United Democratic Alliance (UDA) party is conducting its second phase of grassroots election in all the 40 wards within Homa Bay County today (Saturday).