21 Mar 2026 7:40 pm | Citizen TV 260 views Duration: 1:16 Zaidi ya wanariadha 1,500 wanatarajiwa kushiriki katika awamu ya tatu ya mbio za nusu marathon za Kapsabet, zilizopangiwa kufanyika Aprili tarehe 6 mwaka huu katika kaunti ya Nandi.