Angola yasema itajaribu kusimamia mazungumzo kati ya DRC na M23
Angola imesema siku ya Jumanne itajaribu kusimamia mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda katika siku zijazo.
Haikufahamika iwapo serikali ya Congo, ambayo ilikataa mara nyingi kufanya mazungumzo na M23, itashiriki katika mazungumzo hayo.
Msemaji wa ofisi ya rais wa Congo aliiambia Reuters mamlaka hiyo imezingatia hatua hiyo, wakati naibu msemaji wa M23 alisema ulikuwa “ni ushindi wa hoja” na kuthibitisha ushiriki wa kikundi hicho katika mazungumzo hayo.
Rais wa DRC Felix Tshisekedi alifanya ziara ya kikazi mjini Luanda na alikutana na mwenzie Joao Lourenco, ofisi ya rais wa Angola ilisema katika taarifa kwenye Facebook.
“Angola kama mpatanishi katika mzozo wa mashariki mwa Congo, itaanzisha mawasiliano na M23, ili wajumbe kutoka Congo na M23 wafanye mazungumzo ya moja kwa moja mjini Luanda katika siku zijazo,” ofisi ya rais iliongeza.
Nchi hiyo iliyoko Kusini mwa Afrika imekuwa ikijaribu kusimamia kufikiwa kwa sitisho la mapigano na kupunguza mivutano kati ya Congo na jirani yake Rwanda, ambayo imekuwa ikishutumiwa kuwasaidia kikundi cha waasi wa Kitutsi.
Rwanda imekanusha kuwapa msaada wa silaha na wanajeshi waasi wa M23, na imesema majeshi yake yanajihami dhidi ya jeshi la Congo na wanamgambo wenye chuki na Kigali.
Waasi wa M23 wamekamata miji mikubwa miwili iliyoko mashariki mwa Congo tangu Januari katika mvutano wa mgogoro wa muda mrefu ambao kiini chake ulisambaa Congo kutokana na mauaji ya halaiki ya Rwanda yam waka 1994 na juhudi ya kutaka kudhibiti eneo kubwa lenye madini nchini Congo.
#angola #waasi #m23 #congo #felixtshisekedi #JoaoLourenco #rwanda
30 Apr 2025
- This is in line with the government's plan to reduce the cost of living in the Finance Bill 2025.
30 Apr 2025
- Omtatah fronted allegations against the county government.
30 Apr 2025
- The international investigators further listed the names of the suspects who are alleged to be involved in the fraud.
30 Apr 2025
- High Court Judge Bahati Mwamuye has declared a protest ban issued by former Nairobi Police Commander Adamson Bungei during the 2024 anti-tax demonstrations illegal and unconstitutional.
30 Apr 2025
- Justice Bahati Mwamuye issued the order in a case filed by the Law Society of Kenya (LSK), which had petitioned the court following the killing of Rex Masai during a protest.
30 Apr 2025
- The explosion in generative AI since the advent of ChatGPT has seen several startups launch apps focused on exchange and contact, sometimes described as virtual friends or therapists that communicate according to one's tastes and needs.
30 Apr 2025
- Retired Commissioner of Police Michael Mbugua and two co-accused persons have been granted cash bail of Ksh.100,000 each in a case where they are charged with the murder of a farmhand.
30 Apr 2025
- Since he was first thrust into the limelight, to be publicly prosecuted over his role in the 1990s Goldenberg scandal, the Kamlesh Pattni saga has continued to unload radioactively, mesmerising the masses and painting him into the ultimate villain in a…
30 Apr 2025
- The developers' consortium that developed and maintains eCitizen, the government’s online portal for all State services, has defended its accountability amid repeated concerns about the accuracy of records of revenue collected through its platform.
30 Apr 2025
- The teachers are seeking payment of arrears for house allowances they claim were underpaid between July and October 2019.
30 Apr 2025
- The Cabinet approved the establishment of a consulate in Port-au-Prince, Haiti, to support its peacekeeping and diplomatic missions in the Caribbean.
30 Apr 2025
- This is in line with the government's plan to reduce the cost of living in the Finance Bill 2025.
30 Apr 2025
- Omtatah fronted allegations against the county government.