Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya wanafunzi wa gredi 10 wamesalia nyumbani licha ya serikali kudai mpito wa 96%

  • | Citizen TV
    293 views
    Duration: 3:27
    Na huku serikali inapozungumzia mpito wa asilimia 96 ya wanafunzi wa gredi ya 10 walioripoti shule, baadhi ya wanafunzi bado wamesalia nyumbani kwa kukosa karo. Msichana mmoja kaunti ya Kajiado ni miongoi mwa wanafunzi waliokosa karo na mahitaji mengine kujiunga na sekondari ya juu. Haya yanajiri huku washikadau wa elimu wakipinga takwimu za serikali wakidai nusu ya wanafunzi bado wako nyumbani.