Skip to main content
Skip to main content

Barabara ya Maralal kwenda Nyahururu ni mabovu

  • | Citizen TV
    830 views
    Duration: 3:06
    Madereva wa magari ya uchukuzi pamoja na wale wa magari ya kibinafsi wanaotumia barabara ya Maralal kwenda Nyahururu, wamelalamikia kuharibika Kwa barabara hiyo. Mashimo mengi kwenye barabara hiyo yamekuwa chanzo cha ajali za mara kwa mara. Madereva hao wanataka mamlaka ya ujenzi wa barabara kuu nchini KENHA kukarabati barabara hiyo. Mwanahabari wetu Bonface Barasa anaarifu zaidi kutoka Samburu.