Baraza la Mawaziri limeidhinisha kutolewa kwa shilingi bilioni 4.1 kukabiliana na athari za ukame huku kaunti za Mandera, Wajir, Kwale na Kilifi zikiorodheshwa za kwanza kupokea fedha hizo kutokana na athari za ukame. Baraza la mawaziri linasema watu milioni 3.3 wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula kutokana na kiangazi kilichosababishwa na ukosefu wa mvua ya vuli.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive