BBC Africa Eye: Tigray yazingirwa
Eneo la Tigray nchini Ethiopia limezingirwa na vita kwa takribani miaka miwili. Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Ethiopia na vikosi vya Tigrayan yameahirishwa na kuna ripoti za mapigano mapya.
Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa karibu mtoto mmoja kati ya watatu walio chini ya miaka mitano katika eneo hilo wana utapiamlo…lakini kiwango kamili cha mzozo wa kibinadamu bado hauko wazi.
Mawasiliano yamezuiwa, na waandishi wa habari wamezuiwa kuingia katika eneo hilo. Watengenezaji filamu Charles Emptaz na Oliver Jobard walifika huko mnamo Juni na walitembelea hospitali huko Tigray ambayo inatatizika kutibu wagonjwa wake.
Hussein Mohamed ana ripoti hii kwa BBC Africa Eye - na onyo, ina picha za kuhuzunisha.
#bbcswahili #bbcafricaeye #ethiopia
22 Aug 2025
- For many Kenyans, the Archives is not only a national heritage but also a landmark and a meeting point.
22 Aug 2025
- Harambee Stars will face Madagascar at Kasarani.
22 Aug 2025
- The suspect is currently in police custody, undergoing processing and awaiting arraignment.
22 Aug 2025
- Detectives have arrested a notorious fraudster who allegedly duped an unsuspecting job seeker by masquerading as the personal assistant to Head of Public Service Felix Koskei.
22 Aug 2025
- The High Court in Eldoret has issued an injunction restraining the Director General of the Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA), Daniel Kiptoo, from developing a parcel of family land at the center of a succession dispute in Uasin Gishu…
22 Aug 2025
- Drama unfolded on Thursday night at Kangu village in Mwea-East, Kirinyaga County after three suspected criminals allegedly attempted to carjack a prominent local farmer at his homestead.
22 Aug 2025
- Nigeria has deported 102 foreigners including 60 Chinese nationals and 39 Filipinos convicted of "cyber-terrorism and internet fraud", its anti-corruption agency said Thursday.
22 Aug 2025
- For many Kenyans, the Archives is not only a national heritage but also a landmark and a meeting point.
22 Aug 2025
- The Central Bank of Kenya will gain real-time monitoring power over customer transactions beginning Friday, August 22, following a major system upgrade.
22 Aug 2025
- Content creator Diana Marua has opened up about being labelled ‘difficult’ by people close to her. The mother
22 Aug 2025
- Interviews are set for Friday, August 29, 2025, at the Commission’s headquarters on Harambee Avenue, Nairobi.
22 Aug 2025
- Harambee Stars will face Madagascar at Kasarani.
22 Aug 2025
- The body was moved to Elburgon Level Four hospital mortuary, awaiting a postmortem, police said.