Skip to main content
Skip to main content

Biashara I Hazina ya hasla yahitaji mgao zaidi

  • | KBC Video
    43 views
    Duration: 3:08
    Hazina ya Hasla inahitaji shilingi bilioni saba zaidi ili kufanikisha utoaji mikopo kwa wakenya wanaoihitaji. Akiongea alipozuru shirika la utangazajii la Kenya-KBC, waziri wa ustawishaji vyama vya ushirika, biashara ndogo ndogo na za kadri Wycliffe Oparanya alisema kiwango cha sasa cha shilingi bilioni 13 hakitoshi kukidhia kiwango kikubwa cha mikopo ambayo haijalipwa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive