- 1,106 viewsRais wa Marekani Joe Biden amesema kuwa ushindi wa Chama cha Republikan katika uchaguzi wa katikati ya muhula uliofanyika leo utadhoofisha mfumo wa demokrasia nchini Marekani. Na kwa upande wake Rais wa zamani Donald Trump akieleza kuwa matukio ya uhalifu yameongezeka nchini chini ya utawala wa Biden. Endelea kusikiliza repoti kamili... - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Biden: Ushindi wa chama cha Republikan utadhoofisha demokrasia Marekani
- 3 Jul 2025 - The National Police Service (NPS) is on high alert to avoid publishing false or inconsistent reports of incidences, particularly those concerning persons held in custody for various reasons.
- 3 Jul 2025 - The Kenya Medical Supplies Authority (KEMSA) has launched a two-week annual stocktaking exercise to strengthen the national health supply chain.
- 3 Jul 2025 - Kenyans have shared mixed reactions to the revelation of now resurfaced blogger Ndiang'ui Kinyagia after his lawyer shared that the IT expert, who disappeared on June 20, had been in hiding all along - and not in the custody of security agents as had…
- 3 Jul 2025 - Blogger Ndiang’ui Kinyangia, who had been reported missing for days, finally appeared in court on Thursday morning, bringing to an end a frantic search by his family, legal team, and concerned Kenyans.
- 3 Jul 2025 - Blogger Ndiang’ui Kinyangia, who had been reported missing for days, finally appeared in court on Thursday morning, bringing to an end a frantic search by his family, legal team, and concerned Kenyans.
- 3 Jul 2025 - Nairobi Women Representative Esther Passaris’ proposal to cordon protests to designated zones has been opposed by a slew of parliamentarians and politicians who cite the violation of constitutional rights.
- 3 Jul 2025 - The sectors recorded growth in the first quarter of the year.
- 3 Jul 2025 - The suspects will continue to be held at the Capitol Hill Police Station until July 10.
- 3 Jul 2025 - Ndiangui Kinyagia, the blogger and activist who went missing from his house in Kinoo, Kiambu County on June 22, showed up in a Nairobi court on Thursday after weeks of speculation and uproar about his whereabouts.
- 3 Jul 2025 - Goons carrying whips and clubs invaded the CBD.