- 276 views
bunge la Kaunti ya Meru limepitisha makadirio ya bajeti ya mwaka wa 2024/25.Bajeti hiyo ya aina yake, imetengea kila mradi wa Maendeleo fedha zake, tofauti na hapo awali ambapo fedha zilikuwa zinatengewa idara kwa ujumla na kuwaachia waziri wa kaunti kuamua miradi itakayotekelezwa. Kila wadi itapata mgao wa Maendeleo wa shilingi Milioni 45.wawakilishi wadi, wamesema hatua hiyo itahakikisha Maendeleo yanafika katika kila wadi.Wakilishi wadi hao wameondoa fedha za Mradi wa Ng'ombe ambao unashabikiwa na gavana kawira mwangaza Wakisema Ngavana hakuwasilisha mswada wa kutoa mwongozo kuhusu mradi huo, na pia kuwa wananchi waliukataa wakati wa ukusanyaji wa maoni ya umma.
Bunge la Meru limepitisha makadirio ya bajeti
- 2 Aug 2025 - The National Police Service (NPS) has distanced itself from controversial remarks made by a junior officer calling for a reduction in the recruitment of female police officers, saying the views do not reflect the position of the government or the service.
- 2 Aug 2025 - While enumerating productive interventions implemented in various sectors to ensure better livelihoods, the DP said the administration will not relent in nation building and continued pursuit of economic growth.
- 2 Aug 2025 - Human rights activist Mwabili Mwagodi claims his life is in danger following his recent criticism of the government.
- 2 Aug 2025 - Kindiki also issued an update on the construction of the Rironi-Mau Summit highway.
- 2 Aug 2025 - The new proposed rules are just one in the many attempts to tame the industry.
- 2 Aug 2025 - The new program is set to equip pupils with much-needed skills for their development.
- 2 Aug 2025 - The two stadiums will be the venues for CHAN fixtures in Kenya during the tournament.
- 2 Aug 2025 - A police officer had called for reducing women recruits, labeling them 'weak'.
- 2 Aug 2025 - Sakaja-led administration ordered to deposit the decretal amount in a joint interest-earning bank account.
- 2 Aug 2025 - Nyahururu-based OCS Isaac Kimutus asked NPS to cap female recruitment at 20%.