Skip to main content
Skip to main content

Bunge lapitisha hazina ya miundomsingi

  • | Citizen TV
    1,872 views
    Duration: 2:55
    Wabunge wamepitisha mswada wa hazina ya miundo msingi ya kitaifa ya mwaka wa 2026, inayolenga kueleza namna ambavyo shilingi trilioni 5 za hazina hiyo zitakavyosimamiwa na kutumika. Katika mabadiliko yaliyofanyika bungeni leo, baraza simamizi la hazina hiyo sasa litabuniwa huku mamlaka ya waziri wa hazina kuu yakipunguzwa.