Skip to main content
Skip to main content

Chama cha Wamiliki wa Malori Chazindua Tuzo za Madereva

  • | Citizen TV
    52 views
    Chama cha Wamiliki wa Malori nchini, TAK, kimezindua tuzo za kutambua madereva na wadau wanaofanya vyema katika sekta ya usafirishaji mizogo, kwa lengo la kuchochea ushindani wa kimaendeleo na kuimarisha usalama barabarani.