Skip to main content
Skip to main content

Chama kipya cha kisiasa People’s Renaissance Movement chasajiliwa

  • | KBC Video
    488 views
    Duration: 4:06
    Waziri wa fedha John Mbadi amesema serikali imejitolea kufanikisha utekelezaji kamili wa ajenda ya vipengee kumi iliyomo kwenye mkataba wa makubaliano kati ya Rais William Ruto na kiongozi wa zamani wa ODM, hayati Raila Odinga, mwezi Machi mwaka jana. Akizungumza afisini mwake alipokutana na wajumbe wa kamati kuhusu utekelezaji wa ajenda ya vipengee kumi, Mbadi aliihakikishia kamati hiyo na taifa kwa jumla kuhusu kujitolea kwa Rais kushughulikia masuala yaliyomo katika ripoti hiyo.Wakati huo huo, Waziri wa kawi Opiyo Wandayi amewasihi wakazi wa Nyanza kuanza kupanga mikakati ya kuweka pamoja kura zao kufanikisha azma ya Rais William Ruto ya kuchaguliwa tena mwaka wa 2027. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive