Skip to main content
Skip to main content

Chanzo cha mkasa wa moto Katani Villas hakijabainika

  • | KBC Video
    85 views
    Duration: 2:00
    Uchunguzi unaendelea kubaini chanzo cha moto ulioteketeza mali ya mamilioni ya fedha na kuwaacha watu kadhaa bila makao siku ya Alhamisi jioni katika nyumba za makazi za Katani Villas eneo la Katani, kaunti ya Machakos. Mwenyekiti wa nyumba hizo, Elias Omondi, amesema familia zilizoathiriwa sasa zinategemea majirani na nyumba ambazo hazina watu kwa ajili ya malazi na kuhifadhi mali zao zilizookolewa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive