Skip to main content
Skip to main content

Chuo cha mafunzo ya kilimo chazinduliwa kaunti ya Murang’a

  • | KBC Video
    17 views
    Duration: 1:54
    Chama cha wazilisha wa mazao ya moja kwa moja kutoka shambani kimezindua taasisi yake katika shirika la utafiti wa kilimo na mifugo lililoko huko Gatanga, katika kaunti ya Murang’a, kwa lengo la kuwapa wakulima thamani ya ujuzi na biashara ili kuimarisha uzalishaji, kuboresha bidhaa na kupanua ufikiaji wa soko la kimataifa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive