Skip to main content
Skip to main content

COTU yakosoa Gachagua kuhusu matamshi ya masuala ya wafanyakazi

  • | Citizen TV
    790 views
    Duration: 2:39
    Muungano wa vyama vya wafanyakazi nchini Central Organisation of Trade Unions (Kenya) (COTU) umemkosoa kinara wa DCP Rigathi Gachagua kwa matamshi yake kuwa COTU imeshindwa kutetea maslahi ya wafanyakazi. COTU inasema Gachagua hana haki ya kuingilia masuala ya wafanyakazi, hasa kuhusiana na azma yake ya kushinikiza muungano mbadala.