- 37 views
Muungano wa vyama vya wafanyakazi, COTU, umepinga mpango wa serikali wa kubadili masharti ya kudumu ya ajira ya watumishi wote wa umma kuwa ya kandarasi kama njia ya kudhibiti kiwango cha juu cha mishahara. Akizungumza wakati wa mkutano wa waakilishi wa wafanyakazi katika makao makuu ya muungano huo jijini Nairobi, katibu mkuu Francis Atwoli alisema kuwa pendekezo hilo la wizara ya utumishi wa umma litasambaratisha utumishi wa umma na pia kuathiri utenda kazi. Na jinsi mwanahabari wetu Abdiaziz Hashim anavyotuarifu vyama vya wafanyakazi vimeorodhesha shinikizo zinazotaka zishughulikiwe na serikali wakati wa sherehe za siku ya wafanyakazi tarehe mosi mwezi ujao zitakazoandaliwa katika uga wa Uhuru Gardens.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
COTU yapinga pendekezo la ajira ya watumishi wa umma kwa kandarasi
- - The Weekend Slip ››
- 11 May 2024 - The 11-member Select Commitee tasked with investigating Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi has embarked on writing its report after winding up its three-day trial at Parliament buildings.
- 11 May 2024 - Kenya and the Democratic Republic of Congo (DRC) have resumed full diplomatic ties days after the Kenya Airways incident that had put the two countries' relationship in limbo.
- 11 May 2024 - Three people were injured on Friday as the tussle surrounding the ownership of a 66-acre piece of land in Karen escalated.
- 10 May 2024 - Hope was fading Friday for 44 construction workers buried for days in the rubble of a building that collapsed in South Africa.
- 10 May 2024 - Police in Athi River, Machakos County, are investigating the gruesome murder of a Ohangla dancer Sheila Odoyo, popularly known as Sheila Wegesha.
- 10 May 2024 - A family from Machakos is demanding justice for their daughter who was reportedly murdered in cold blood by unknown individuals.
- 10 May 2024 - The Ministry of Education has now issued new instructions to guide the smooth return to school for learners and institutions of learning across the country.
- 10 May 2024 - Emotions ran high in Mai Mahiu, Nakuru County, as 13 of the 61 people who died last week following the dam tragedy were laid to rest.
- 10 May 2024 - At least one police officer was injured in the attack.
- » ‘Mango processing plant to be in Machakos in 5 years,’ CS Ndung’u says during tree planting exercise10 May 2024 - Machakos County Governor Wavinya Ndeti has hosted Treasury Cabinet Secretary, Njuguna Ndung’u where they led locals in a tree planting exercise in Kalama Sub-County.