- 313 viewsDaktari wa Kipalestina Khaled al-Saedni anafanya kazi katika kitengo cha watoto cha hospitali ya Al-Aqsa Martyrs huko Gaza City. Daktari huyu, ambaye amefanya kazi katika hospitali hii kwa zaidi ya miaka 23, alipoteza mguu wake mwaka jana baada ya kujeruhiwa. Anasema alijeruhiwa na bomu katika kambi ya wakimbizi ya Al-Bureij katika miezi ya kwanza ya vita vya Gaza. Kutokana na matatizo yaliyotokana na maradhi ya kisukari, daktari huyu mwenye umri wa miaka 50 anasema, mguu wake ulikatwa. Lakini licha ya kutegemea kifaa cha kutembelea, daktari huyu wa watoto alisema amerejea kufanya kazi kuwahudumia watoto “katika fursa ya kwanza” aliyopata baada ya miezi kadhaa ya kufanyiwa upasuaji na kupata matibabu. “Nimepoteza mguu, namshukuru Mungu. Kuna watu familia zao nzima wamekufa shahidi – wake, watoto, wazazi na ndugu zao,” Saedni alisema, ana matumaini vita vya Gaza vitamalizika haraka. Israel ilianza mashambulizi ya angani na ardhini dhidi ya Gaza baada ya wapiganaji walioongozwa na Hamas kushambulia jamii za Waisraeli Oktoba 2023, na kuua watu 1,200 na kuwachukua mateka 250 kurejea nao Gaza, kulingana na hesabu za Isreali. Kampeni ya kivita ya Israeli tangu wakati huo imewauwa zaidi ya Wapalestina 46,500 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 100,000, kulingana na wizara ya afya ya Gaza. Kampeni hiyo imewakosesha makazi watu milioni 2.3 na kuharibu eneo lote finyu la pwani. #ukandawagaza #daktari #khaledalsaedni #israel #mabomu #hamas #mateka #voa #voaswahili #kilema
Daktari
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 1 May 2025 - The 76-year-old born into a humble family of 10 children is the first clergyman from the west African country to receive a red hat, having been made cardinal in 2003 by John Paul II.
- 1 May 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has described Kasipul Member of Parliament Charles Were, who was shot dead on Wednesday evening in Nairobi, as a fearless and committed public servant.
- 1 May 2025 - In a Wednesday statement released by the Office of the Inspector General, the incident occurred at approximately 7:30 p.m. on Wednesday along Ngong Road, near the City Mortuary roundabout.
- 1 May 2025 - The defeated Democrat told supporters the apparent "chaos" of the last three months was actually the realization of a long-cherished plan by conservatives who are using Trump to twist the United States to their own advantage.
- 1 May 2025 - South Africa's President Cyril Ramaphosa is setting up a judicial commission of inquiry to establish whether attempts were made to prevent the investigation or prosecution of apartheid-era crimes, his office said on Wednesday.
- 1 May 2025 - Iran on Wednesday executed a man convicted of espionage for Israel's Mossad spy agency and involvement in the 2022 assassination of a Revolutionary Guards colonel, the judiciary said.
- - Labour Day Celebrations 2025
- 1 May 2025 - The government plans to lease out four public sugar factories—Nzoia, Chemilil, Muhoroni and Sony—under a carefully structured process that has received strong backing from some key industry stakeholders. The initiative, spearheaded by a committee led by…
- 1 May 2025 - They have described the late MP as a humble, gallant and dedicated servant of the people.
- 1 May 2025 - Gor Mahia midfield maestro Austin Odhiambo has declared his team’s readiness for the Football Kenya Federation (FKF) Cup quarterfinal clash against Kariobangi Sharks. Sinisa Mihic’s team faces off against Sharks this Thursday, May 1, 2025, in Dandora…