- 313 viewsDaktari wa Kipalestina Khaled al-Saedni anafanya kazi katika kitengo cha watoto cha hospitali ya Al-Aqsa Martyrs huko Gaza City. Daktari huyu, ambaye amefanya kazi katika hospitali hii kwa zaidi ya miaka 23, alipoteza mguu wake mwaka jana baada ya kujeruhiwa. Anasema alijeruhiwa na bomu katika kambi ya wakimbizi ya Al-Bureij katika miezi ya kwanza ya vita vya Gaza. Kutokana na matatizo yaliyotokana na maradhi ya kisukari, daktari huyu mwenye umri wa miaka 50 anasema, mguu wake ulikatwa. Lakini licha ya kutegemea kifaa cha kutembelea, daktari huyu wa watoto alisema amerejea kufanya kazi kuwahudumia watoto “katika fursa ya kwanza” aliyopata baada ya miezi kadhaa ya kufanyiwa upasuaji na kupata matibabu. “Nimepoteza mguu, namshukuru Mungu. Kuna watu familia zao nzima wamekufa shahidi – wake, watoto, wazazi na ndugu zao,” Saedni alisema, ana matumaini vita vya Gaza vitamalizika haraka. Israel ilianza mashambulizi ya angani na ardhini dhidi ya Gaza baada ya wapiganaji walioongozwa na Hamas kushambulia jamii za Waisraeli Oktoba 2023, na kuua watu 1,200 na kuwachukua mateka 250 kurejea nao Gaza, kulingana na hesabu za Isreali. Kampeni ya kivita ya Israeli tangu wakati huo imewauwa zaidi ya Wapalestina 46,500 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 100,000, kulingana na wizara ya afya ya Gaza. Kampeni hiyo imewakosesha makazi watu milioni 2.3 na kuharibu eneo lote finyu la pwani. #ukandawagaza #daktari #khaledalsaedni #israel #mabomu #hamas #mateka #voa #voaswahili #kilema
Daktari
- 7 Feb 2025 - The Ministry of Health, through the State Department for Public Health and Professional Standards, has ordered the Kenya Medical Practitioners and Dentists Council (KMPDC) to immediately shut down aesthetics clinics operating illegally across the country.
- 7 Feb 2025 - Drama unfolded on Friday in Kutus town in Kerugoya as angry residents demanded justice after a man allegedly severed another man's genitals over a Ksh 50 debt.
- 7 Feb 2025 - Veteran broadcast journalist Leonard Mambo Mbotela is dead at 84.
- 7 Feb 2025 - President Donald Trump's administration plans to keep fewer than 300 staff at the U.S. Agency for International Development out of the agency's worldwide total of more than 10,000, four sources told Reuters on Thursday.
- 7 Feb 2025 - The National Police Service (NPS) has clarified that Sadam Buke, an individual from Isiolo County, was arrested and not abducted as alleged by reports.
- 7 Feb 2025 - Every prime time, the news supply can be dizzying. Take our quiz to test how well you understood the week's most important stories.
- 7 Feb 2025 - 1000 youths in Machakos today held a pass out parade to mark the end of a three-week Boot camp as they transition to five Vocational Training Centers (VCTs) in a Youth Empowerment Program.
- 7 Feb 2025 - The county is targeting to raise at least Sh1 billion through this initiative.
- 7 Feb 2025 - Kenya has made significant strides in the agricultural sector since the inception of the subsidized fertilizer program about three years ago. The program has not only been a transformative force in enhancing agricultural production, but has also been…
- 7 Feb 2025 - The United States government will continue to support the Multinational Security Support (MSS) mission in Haiti led by Kenyan security forces despite US President Donald Trump's 90-day pause on foreign aid.