- 313 viewsDaktari wa Kipalestina Khaled al-Saedni anafanya kazi katika kitengo cha watoto cha hospitali ya Al-Aqsa Martyrs huko Gaza City. Daktari huyu, ambaye amefanya kazi katika hospitali hii kwa zaidi ya miaka 23, alipoteza mguu wake mwaka jana baada ya kujeruhiwa. Anasema alijeruhiwa na bomu katika kambi ya wakimbizi ya Al-Bureij katika miezi ya kwanza ya vita vya Gaza. Kutokana na matatizo yaliyotokana na maradhi ya kisukari, daktari huyu mwenye umri wa miaka 50 anasema, mguu wake ulikatwa. Lakini licha ya kutegemea kifaa cha kutembelea, daktari huyu wa watoto alisema amerejea kufanya kazi kuwahudumia watoto “katika fursa ya kwanza” aliyopata baada ya miezi kadhaa ya kufanyiwa upasuaji na kupata matibabu. “Nimepoteza mguu, namshukuru Mungu. Kuna watu familia zao nzima wamekufa shahidi – wake, watoto, wazazi na ndugu zao,” Saedni alisema, ana matumaini vita vya Gaza vitamalizika haraka. Israel ilianza mashambulizi ya angani na ardhini dhidi ya Gaza baada ya wapiganaji walioongozwa na Hamas kushambulia jamii za Waisraeli Oktoba 2023, na kuua watu 1,200 na kuwachukua mateka 250 kurejea nao Gaza, kulingana na hesabu za Isreali. Kampeni ya kivita ya Israeli tangu wakati huo imewauwa zaidi ya Wapalestina 46,500 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 100,000, kulingana na wizara ya afya ya Gaza. Kampeni hiyo imewakosesha makazi watu milioni 2.3 na kuharibu eneo lote finyu la pwani. #ukandawagaza #daktari #khaledalsaedni #israel #mabomu #hamas #mateka #voa #voaswahili #kilema
Daktari
- 13 Jul 2025 - Liberia's president was "honoured" to meet US counterpart Donald Trump this week and wasn't offended by Trump's comment about his fluency in English -- his mother tongue -- Liberia's foreign minister said on Friday.
- 13 Jul 2025 - An Israeli-American businessman, a former State Department official and a decorated Green Beret pitched up in the Democratic Republic of Congo in March with a message for President Felix Tshisekedi from the Trump administration.
- 13 Jul 2025 - Nigeria on Saturday slapped 44 Boko Haram jihadists with jail terms of up to 30 years for funding terrorist activities, a spokesman for a counterterrorism agency said.
- 13 Jul 2025 - The announcement comes after multiple complaints were raised.
- 13 Jul 2025 - "The doctoral thesis took me 6 years with COVID in between,” he said.
- 13 Jul 2025 - He said the government will not allow opposition to use youths to save their dwindling political careers.
- 13 Jul 2025 - They have said the current guidance, which allows headteachers to decide how smartphones are used, is unlawful
- 13 Jul 2025 - Two of them have already been charged in court.
- 13 Jul 2025 - President William Ruto’s administration has come under sharp criticism from the Democratic Action Party of Kenya (DAP-K), as political temperatures begin to rise ahead of the 2027 general elections. In a scathing rebuke posted on its X account on Sunday…
- 13 Jul 2025 - Employer told not to present counter-proposal with no monetary benefits in new CBA.