- 2,402 views
Mahakama kuu jijini Nairobi imemtaka wakili na dalali katika kesi ya ubomozi wa jumba la Niraj Shah na mkewe Avani Shah katika mtaa wa Westlands waeleze kupitia hatikiapo sababu ya kutekeleza ubomozi huo bila idhini ya mahakama jaji Oscar Angote amesema mahakama imebainisha kuwa amri ya mahakama kuhusu jumba hilo la shilingi milioni 80 haikumruhusu dalali kubomoa nyumba hiyo. Jaji Angote ameamuru maelezo zaidi kutolewa kabla ya ijumaa wiki hii, huku kesi hiyo ikitarajiwa kusikizwa siku ya jumatatu. Upande wa mashtaka uliomba siku kumi na nne kumzuia dalali aliyehusika na ubomozi huo zachary baraza. Uamuzi kuhusu iwapo baraza ataachiliwa kwa dhamana au la utatolewa kesho.
Dalali aliyebomoa jumba mtaani westlands afikishwa mahakamani
- 4 Jul 2025 - President William Ruto's confession of building a church at State House grounds has caused all manner of online commotion as Kenyans blast him for the exercise they've termed not only unconstitutional but also unnecessary.
- 4 Jul 2025 - President William Ruto has come out guns blazing to defend the construction of a new church at State House, Nairobi, that is alleged to have cost Ksh.1.2 billion, saying the house of God must reflect the dignity of the highest seat of power.
- 4 Jul 2025 - The Kenya National Examination Council (KNEC) has unveiled a new digital platform aimed at streamlining the verification of academic certificates.
- 4 Jul 2025 - The accused moved to court after he was contacted for a comment by the media outlet.
- 4 Jul 2025 - Mr Kibet, who is facing a contempt of court suit, was arrested on Thursday evening.
- 4 Jul 2025 - It is expected to enhance transparency, eliminate human interference and reduce the time taken to authenticate certificates.
- 4 Jul 2025 - The two officers used a friend to lure Lusava to the police station, where he was arrested and handcuffed to a window and assaulted with kicks, blows, and electric cables.
- 4 Jul 2025 - PS Bitok said the platform signals the end of forged certificates in the country.
- 4 Jul 2025 - The teachers' payroll consumes over Ksh400 billion in cash.
- 4 Jul 2025 - "Not your land, not your money to do as you please."