- 124 views
Wataalamu wa afya ya akili wanasema visa vya magonjwa ya akili vinazidi kuongezeka nchini, hivyo basi kuna haja ya serikali kuwekeza raslimali ya kutosha kuimarisha afya ya akili hususan miongoni mwa walimu na wanafunzi shuleni. Akizungumza katika kongamano la taasisi za kanisa katoliki jijini nairobi, afisa mkuu katika hospitali ya Chiromo daktari vincent hongo ameeleza kwamba utundu na ghasia shuleni ni dalili za matatizo ya akili na kwamba kuna haja ya kuwasaidia wanafunzi badala ya kuwaadhibu.
Dkt. Hongo: Utundu wa wanafunzi unaashiria matatizo ya akili
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - KEBS has received several complaints.
- 1 Jul 2025 - The bill is "utterly insane and destructive". — Elon Musk
- 1 Jul 2025 - His quest for freedom has been denied at the High Court and Court of Appeal.
- 1 Jul 2025 - Police said they are investigating to establish whether the man drowned or was killed and dumped there.
- 1 Jul 2025 - The woman had a stab wound in the head.
- 1 Jul 2025 - Usaid-funded programs have prevented more than 91 million deaths globally, including 30 million deaths among children.
- 1 Jul 2025 - Creative economy: Missed opportunities from neglect despite talk about big numbers
- 1 Jul 2025 - Blow to Joho family as apex court cancels its KPA tender
- 1 Jul 2025 - Amin denies holding the missing blogger, labels him 'wanted'
- 1 Jul 2025 - Day I met Bedel Bokassa's son in Geneva: Warning to CS Murkomen