DRC: Waasi wa M23 waanza tena mapigano mapya dhidi ya majeshi ya serikali

  • | VOA Swahili
    17,705 views
    Baada ya utulivu wa siku chache kwa mara nyingine mlio wa risasi umesikika katika mji mdogo ulioko magharibi ya Kisanga, Wilayani Masisi Kivu mashariki. Ungana na mwandishi wetu huko DRC akikuletea taarifa za kuanza tena mapigano dhidi ya majeshi ya serikali. Endelea kusikiliza... #utulivu #risasi #mji #kivumashariki #masisi #drc #waasi #m23 #mapigano #majeshi #serikali #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.