- 17,705 viewsBaada ya utulivu wa siku chache kwa mara nyingine mlio wa risasi umesikika katika mji mdogo ulioko magharibi ya Kisanga, Wilayani Masisi Kivu mashariki. Ungana na mwandishi wetu huko DRC akikuletea taarifa za kuanza tena mapigano dhidi ya majeshi ya serikali. Endelea kusikiliza... #utulivu #risasi #mji #kivumashariki #masisi #drc #waasi #m23 #mapigano #majeshi #serikali #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
DRC: Waasi wa M23 waanza tena mapigano mapya dhidi ya majeshi ya serikali
- 19 Apr 2024 - Nairobi Governor, Johnson Sakaja, has been demanded to withdraw his statements on converting Uhuru Park into a commercialization center.
- 19 Apr 2024 - President William Ruto now says elevating General Francis Ogolla to the country’s Chief of Defence Forces position last year is the best appointment he has made so far since assuming power.
- 19 Apr 2024 - NARC Kenya Party Leader Martha has called for heightened investigations into the tragic death of Chief of Defence Forces (CDF) General Francis Ogolla.
- 19 Apr 2024 - Opposition Leader Raila Odinga has called for a "thorough, professional and transparent" investigation into the death of Chief of Defence Forces General Francis Ogolla who tragically lost his life in a helicopter crash on Thursday afternoon.
- 19 Apr 2024 - The family of the late Chief of Defence Forces General Francis Ogolla has insisted that his father’s 100th birthday celebrations initially set for Saturday will still go on as planned.
- 19 Apr 2024 - The Kenya Defence Forces will hold their own event to honour their late boss with a Military Honours ceremony to be conducted tomorrow, Saturday, April 20, 2024.
- 19 Apr 2024 - The late General Francis Ogolla will be laid to rest without a coffin in accordance with his will and wishes, his elder brother Canon Hezekiah Oduor has disclosed.
- 19 Apr 2024 - Six persons charged with the murder of former Juja Member of Parliament George Thuo in 2013 have been convicted.
- 19 Apr 2024 - Six persons charged with the murder of former Juja Member of Parliament George Thuo in 2013 have been convicted.
- 19 Apr 2024 - A section of city leaders allied to the Kenya Kwanza government have slammed Nairobi Governor Johnson Sakaja's administration, emphasising that it will be remembered in Kenya's history as the most incompetent and morally degenerate county government.