- 823 viewsDuration: 2:53Tume ya Maadili na kupambana na Ufisadi EACC Imetoa onyo kwa baadhi ya maafisa wa serikali wanaojihusisha na Siasa na Kampeni wakisema kwamba hatua hiyo hairuhusiwi Kikatiba. EACC pia imetaka mabadiliko ya kisheria kufanyika kuwaondoa mamlakani wanasiasa waliopatikana na hatia wakiwa mahakamani.