Skip to main content
Skip to main content

EACC yasihi mageuzi ya kisheria ili kupambana na ufisadi, yaokoa mali ya Sh3.4 bilioni

  • | Citizen TV
    200 views
    Tume ya maadili na kupambana na ufisadi EACC sasa inataka mageuzi ya kisheria kupewa mamlaka zaidi kukabiliana na ufisadi nchini. kwenye ripoti yake ya kila mwaka pia ikitangaza kufanikiwa kuokoa mali ya ufisadi ya shilingi bilioni 3.4 katika mwaka wa kifedha uliopita. EACC inapendekeza sheria kali dhidi ya wahusika wa ufisadi