Skip to main content
Skip to main content

Eliud Kipchoge na Chuo Kikuu cha Daystar wazindua mbio za L.A.P half marathon kusaidia wanafunzi

  • | Citizen TV
    349 views
    Duration: 1:55
    Gwiji wa Olimpiki Eliud Kipchoge, kwa ushirkiano na chuo kikuu cha Daystar amezindua mashindano ya kwanza ya L.A.P half marathon kuimarisha maslahi ya wanafunzi na usaidizi wa ufadhili wa masomo katika chuo hicho.