Skip to main content
Skip to main content

Familia moja Kilifi inamtaka Ruth Bendera kuomba msamaha ka madai ya kuvuruga mazishi yao

  • | NTV Video
    255 views
    Duration: 2:08
    Familia moja katika eneo la Jibana, Kaloleni, kaunti ya Kilifi, inamtaka Mkurugenzi wa Hazina ya Maendeleo ya Serikali NGAAF, Ruth Bendera, kuomba msamaha mara moja kwa madai ya kuvuruga mazishi yao na kutoa taarifa za uongo kwamba alipigwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Barabara nchini, Aisha Jumwa Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya