- 450 viewsDuration: 2:34Familia moja huko Mombasa inalilia haki baada ya kifo cha jamaa yao kwa njia isiyoeleweka. Mfanyibiashara Desmond Barrack kutoka Nairobi anadaiwa kufariki akipokea matibabu hospitalini tarehe 27 Januari. Familia yake inadai marehemu alikuwa na majeraha kichwani huku hospitali ya Makadara ikidai aliyemleta alisema alipata ajali