Skip to main content
Skip to main content

Familia Mombasa yamtafuta mtoto wa miezi mitano aliyetoweka kwa wiki mbili sasa

  • | Citizen TV
    807 views
    Duration: 3:00
    Familia moja mtaani Soweto - Kongwea kaunti ya Mombasa inamtafuta mtoto wao wa miezi mitano ambaye alitoweka tangu februari 7. Kulingana na familia hiyo, rafiki yao aliyekuwa amepewa hifadhi nyumbani kwao kwa muda ndiye aliyetoweka na mtoto huyo kwa takriban wiki mbili sasa