- 471 viewsDuration: 1:23Familia ya kasisi Julius Ndumia, aliyepatikana ameuwawa katika Kanisa la Presbyterian Church of East Africa (PCEA) Tabuga, Kaunti ya Nakuru, inataka haki baada ya ripoti ya upasuaji kuonyesha kuwa marehemu alifariki kwa kukosa hewa na kuvuja damu kutokana na majeraha kichwani.