Skip to main content
Skip to main content

Familia ya marehemu Silvester Mwenda anayedaiwa kufariki mikononi mwa maafisa wa Polisi wadai haki

  • | Citizen TV
    967 views
    Duration: 2:48
    Familia ya marehemu Silvester Peter Mwenda ambaye anadaiwa kufariki mikononi mwa maafisa wa Polisi waliyemkamata Ijumaa iliopita inalilia haki. Mwili wa Marehemu Mwenda ulipatikana katika makafani ya hospitali ya Nyambene Level 4 kaunti ya Meru, siku moja baada ya kutoweka nyumbani kwake eneo la Kiina, Igembe Kazkazini.