Skip to main content
Skip to main content

Familia ya mtoto Mohamed Ali huko Kiamaiko yatoa zawadi kwa atakayempata

  • | Citizen TV
    571 views
    Duration: 1:09
    Familia ya mtoto Mohamed Ali aliyeibwa Jumapili mchana mtaani Kiamaiko hapa Jijini Nairobi sasa imetangaza kutoa zawadi ya shilingi nusu milioni kwa yeyote atakayempata mtoto huyo.