Skip to main content
Skip to main content

Familia ya Nyamira yamtafuta mwanafunzi aliyeponyoka kutoka shule ya Etono SDA

  • | Citizen TV
    2,717 views
    Duration: 2:15
    Familia moja kutoka kijiji cha Suguta, Mugirango West katika kaunti ya Nyamira wanamtafuta mwanawao aliyepotea kutoka shule ya msingi ya kutwa ya Etono SDA. Mwanafunzi huyu anadaiwa kupotea kutoka shuleni humo.