- 4,419 viewsDuration: 2:27Familia moja kutoka eneo la Seme, Kaunti ya Kisumu, inaomboleza vifo vya jamaa zao watano waliofariki katika ajali ya barabarani walipokuwa wakirejea Nairobi kutoka mazishini. Ajali hiyo ilitokea jana usiku katika eneo la Kikopey, Gilgil, Kaunti ya Nakuru.