Skip to main content
Skip to main content

Familia ya Simon Warui yapinga matokeo ya upasuaji

  • | Citizen TV
    852 views
    Duration: 2:11
    Familia ya Simon Warui, aliyefariki akiwa korokoroni katika Kituo cha Polisi cha central mjini Mombasa, imepinga matokeo ya uchunguzi wa mwili wake. Familia hiyo ikidai kuna njama ya kufichwa kwa ukweli na maafisa wa polisi.