Skip to main content
Skip to main content

Familia yalilia kutokota kwa safari ya haki baada ya kupotea kwa Caroline Mokeira

  • | Citizen TV
    12,392 views
    Duration: 2:54
    Zaidi ya wiki sita baada ya kutoweka kwa mama ya watoto watatu Caroline Mokeira akiwa na mumewe, familia yake inalalamika kuwa uchunguzi unajikokota. Familia ya Mokeira sasa ikiwataka wachunguzi huru kuingilia kati, wakisema hakuna hatua zozote zilizopigwa na idara ya polisi tangu kutoweka kwake tarehe 17 mwezi Oktoba.