10 Feb 2026 1:33 pm | Citizen TV 2,479 views Duration: 3:38 Familia moja katika Kijiji cha Rianchogu Bomachoge Chache kaunti ya Kisii inalilia serikali kuwasaidia baada ya mwanao, Frasha OGACHI ONTIRI mwenye umri wa miaka 28 kuaga dunia huko Dubai.