- 300 viewsDuration: 3:00Familia moja mtaani huruma imeendelea kuhangaika kumtafuta kijana wao wa miaka 17 aliyepotea miezi sita iliyopita. Reagan Njoroge alitoweka Huruma alikokuwa akifanya kazi ya kusafirisha mitugi ya gesi na hadi sasa hajulikani aliko. Familia yake ikidai kuendelea kuhadaiwa na watu wanaodai kuwa na habari aliko. Aidha katika mtaa wa Kabete, kaunti ya kiambu, familia ya Neville Mwangi inamtafuta mtoto huyo wa miaka mitano ambaye pia alitoweka.