Skip to main content
Skip to main content

Familia yatangaza msako wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Nairobi aliyetoweka Kikuyu

  • | Citizen TV
    2,379 views
    Duration: 3:03
    Familia moja hapa jijini Nairobi inamtafuta binti yao aliyetoweka mapema mwezi huu akiwa chuo kikuu cha Nairobi bewa la Kikuyu. Jane Atila aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili wa ualimu anadaiwa kumtembelea rafikiye wa kiume na tangu wakati huo hajaonekana