Skip to main content
Skip to main content

Familia za aaathiriwa wa Endarasha wadai haki na fidia mahakamani

  • | Citizen TV
    650 views
    Duration: 2:40
    Wanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu wamewasilisha Kesi mbili mahakamani wakilenga kuhakikishia familia za waathiriwa makasa wa moto katika shule ya hillside endarasha haki. Wanaharakati hao wanataka familia za watoto 21 waliofariki kwenye moto huo kufidiwa na mahakama kuishinikiza serikali kuwachukulia hatua maafisa wa shule hiyo na wa wizara ya elimu waliofeli kuwahakikishia wanafunzi usalama shuleni