- 346 views
Familia ambazo miili ya jamaa zao ilitolewa katika msitu wa Shakahola sasa zinataka serikali kuwapa miili hiyo kwa shughuli za mazishi. Baadhi ya jamaa za waathiriwa wakisema kuwa kimya cha serikali kuhusu matokeo ya sampuli za msimbojeni wa DNA zilizochukuliwa mwezi Mei kimewaacha njia panda. Wanaharakati wa haki pia wanaitaka idara ya ujasusi kutoa matokeo hayo ili kuanzisha mchakato wa kupata haki kwa waathiriwa wa sakata hii ya dini potofu iliyoongozwa na Paul Mackenzie
Familia za waathiriwa wa Shakahola zataka zipewe miili ya wapendwa
- 28 Apr 2024 - Search efforts are underway for a 27-year-old man swept away by water while crossing the flooded River Thiba in Mwea West, Kirinyaga County on Sunday amid ongoing heavy rains.
- 28 Apr 2024 - Fishing activities at Siginga beach in Nyatike, Migori County have been paralysed after the landing site was submerged in floods caused by backflow of water from Lake Victoria.
- 28 Apr 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja has refuted claims of a dispute between him and Deputy President Rigathi Gachagua.
- 28 Apr 2024 - The COTU boss revealed that since Azimio lost the 2022 general election, he had only held one meeting with Raila and Uhuru.
- 28 Apr 2024 - On the material day, nothing appeared off. He was ushered to the back seat and his belongings packed in the trunk.
- 28 Apr 2024 - The Kenya Defence Forces (KDF) has launched a probe into a disconcerting incident where its soldiers assaulted Kenya Police officers at the Likoni ferry channel in Mombasa.
- 28 Apr 2024 - 'VAR has damaged Premier League' says Pochettino after Chelsea drama
- 28 Apr 2024 - 76 people confirmed dead as a result of raging floods in last 12 hours
- 28 Apr 2024 - Widow recounts fond memories as Col Keitany is laid to rest
- 28 Apr 2024 - Crisis deepens as counties send home defiant medics