- 2,315 views
Zaidi ya familia mia mbili maeneo bunge la Bomet mashariki na Bomet ya kati wamelazimika kuacha nyumba zao na kuishi katika shule moja kufuatia mafuriko yanayoshuhudiwa maeneo hayo. Wanakijiji hao wa rahia na chebirir wasema kuwa wamepoteza mazao yao baada ya kusombwa na maji. Mito iliyoko kwenye maeneo hayo imefurika huku daraja la itare kaptien limefurika maji. Wakazi hao wanaomba usaidizi wa bidhaa muhimu kama vile chakula, malazi, sabuni, maji safi na bidhaa zinginezo wakisema wanapitia changamoto si haba kambini.
Familia zaidi ya 200 lazimika kuhama makwao kutokana na mafuriko Bomet
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - President Ruto will be only the sixth head of state—after South Korea, France, India, Australia and Japan—to be accorded a State visit during the Biden presidency.
- 19 May 2024 - Jailed Iranian Nobel Peace Prize winner Narges Mohammadi says she is facing a new trial after she accused the s*************s of s****lly a*****ting women. In a message from Evin prison where she is being held, Ms Mohammadi said the trial relates to an…
- 19 May 2024 - The visit is primed with symbolic significance.
- 19 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Here is what you need to know to get up to sp*ed with today’s happenings. Ruto flies to US President Wi*liam […]
- 19 May 2024 - "I believe he won a few of the rounds, but I won the majority," a defiant Fury said in the ring.
- 19 May 2024 - He reminded political leaders to shun using blackmail as a way to survive in politics
- 19 May 2024 - Nothing delights of our politicians more than a good disaster photo op
- 19 May 2024 - Office of retired president crippled with budget freezes that Uhuru's staff attribute to politics of retribution.
- 19 May 2024 - Experts call on government to focus on growing the GDP.
- 19 May 2024 - Ruto calls for planting 15 billion trees by 2032 to rehabilitate forests, improve the climate, limit floods and landslides and give us shade.