- 379 viewsDuration: 1:02Familia zaidi ya elfu tatu Kwenye kaunti nane za eneo la kati, zimo katika hatari ya kusombwa na mafuriko na kauthirika na Maporomoko ya Ardhi. Hii ni Kwa mujibu wa shirika la msalaba mwekundu eneo hilo ambalo limedhibitisha kuwa tayari, familia 48 zimeathirika msimu huu wa mvua.