Skip to main content
Skip to main content

FIFA Series: Kenya yachapwa 2-0 na Australia fainali, India yashika nafasi ya tatu

  • | Citizen TV
    289 views
    Duration: 1:25
    Kenya imemaliza katika nafasi ya pili kwenye kinyang'anyiro cha fifa series baada ya kushindwa 2-0 na australia kwenye fainali iliyochezwa uwanjani nyayo. Awali timu ya india ilimaliza katika nafasi ya tatu baada ya kuipiku malawi kwa maba0 3-2.