5 Jun 2026 7:45 pm | Citizen TV 94 views Rais wa Shirikisho la Soka nchini (FKF) Hussein Mohammed ametaka maslahi ya wachezaji kupewa kipaumbele katika kukuza mchezo wa soka barani Afrika. Alizungumza katika kongamano la Afrika la FIFPRO 2026 hapa jijini Nairobi.