Skip to main content
Skip to main content

Gachagua asema alitimuliwa kinyume na Katiba katika kesi ya kutimuliwa kwake

  • | Citizen TV
    12,504 views
    Duration: 3:23
    Kesi ya kupinga kubanduliwa afisini kwa aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua imeanza rasmi katika mahakama kuu ya milimani, gachagua akieleza mahakama kwamba aliondolewa ofisini kinyume cha sheria mwaka wa 2024. Kupitia kwa mawakili wake, Gachagua anataka mahakama ifutilie mbali uamuzi wa kufurushwa kwake na kuzua maswali ya uhalali wa kuteuliwa kwa Kithure Kindiki kama naibu Rais.