Skip to main content
Skip to main content

Gachagua atoa makataa ya siku saba kushusha bei ya mafuta

  • | Citizen TV
    22,068 views
    Duration: 3:23
    Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua ametoa makataa ya siku Saba kwa Rais William Ruto Kushusha bei ya mafuta nchini la Sivyo wakenya waandamane kote nchini. Gachagua ambaye alikuwa Nairobi amedai kwamba kupandishwa kwa bei ya mafuta nchini ni dhuluma kubwa kwa wananchi na kuitaka serikali kuondoa ushuru wote wa mafuta ili bei ipungue.