Skip to main content
Skip to main content

Gachagua: Kiongozi wa upinzani atakayejiunga na serikali atakuwa adui wa Wakenya

  • | Citizen TV
    17,404 views
    Duration: 2:46
    Kinara wa DCP, Rigathi Gachagua, amesema kiongozi yeyote wa upinzani atakayeondoka na kujiunga na serikali atakuwa adui wa Wakenya. Gachagua, aliyezungumza nchini Marekani, ameendelea kushikilia kuwa upinzani ni lazima uafikie mgombea mmoja ili kupigania kumuondoa Rais William Ruto mamlakani mwaka ujao. Seth Olale ana taarifa kamili.